Translate

Thursday, January 30, 2020

Major things a woman really needs in a man

7 things a woman really needs in a man

By Sixberty Manson 

AS women we sometimes believe we have it all thought through in terms of what we want in a man, but we often overlook something very important --the things we really need. While a woman might not want anyone to tell her what kind of man she should be with, certain toxic patterns call for self-reflection.
If you constantly go for the handsome, career guy who is financially secure, yet you have to compete relentlessly with other women for his attention, and he has little time to spend with you, you might want to look at needs versus wants. Perhaps you want these types of men but they are not meeting your needs and you really need a guy who is less focused on climbing the corporate ladder, one who is able to invest more time into building the relationship.
Your man doesn't need to be handsome for your relationship to work, hence good looks aren't a need. Needs are required for your overall well-being -- they are like the oxygen in your relationship. Wants aren't necessarily so. Here are six things a woman really needs in a man.
1. A man who makes time for her
A woman wants attention and quality time with her man. A man who does not spend time with his woman ignores her to his own peril. Regardless of how well he provides for her, if he does not take care of her emotional needs, the relationship is at risk. A man who makes time to do things with his woman is a keeper. What she will never forget is if you cancel something else just to spend time with her.

2. A man who will talk and listen
Men in general do not like to sit and talk or listen to their women for too long, but guess what? She needs you to talk and listen, so make the time. Women like to express themselves verbally. When a man sits and listens to what she has to say, it means a lot to her. And don't be trying to watch your favourite game at the same time that she is speaking with you.
3. A man who respects and appreciates her
A woman's work is never done. Whether it is being a full-time stay-at-home mom, or trying to juggle her career and taking care of the kids while ensuring her man's needs are taken care of, it's a lot of work. Women need to feel respected and appreciated. A man doesn't have to tell his woman 'I love you' every day but ensure she knows by your actions that you respect and appreciate her.
4. A man who understands the importance of financial security
He doesn't have to be rich but a woman needs a man who takes seriously his role as a provider. Whether or not his woman is earning her own money, a woman needs a man who values taking care of his household.
5. A man who never stops romancing her
Long after the courtship is over, a woman still wants to be romanced by her man. Send her little love notes, romantic text messages in the middle of the workday, or just a simple 'how's your day going?' to show her you are thinking about her. Whatsapp her a song that sums up how you feel about her, or have flowers delivered to her at work. These are all little romantic gestures that women appreciate.
6. A man who isn't afraid to show emotions
There are some men who will never tell their women that they love them. They may do the things to make the women comfortable but stay away from doing the things they think make them appear 'soft'. The simple fact is that some men are not comfortable expressing love sometimes because of how they were brought up. However, women need to feel loved. Show her you love her and do not be afraid to tell her too.
7. A man who will protect her
Women like to have a sense of being secure so they like to know that their men can and will protect them. A woman wants to know that if a situation arises, her man will not run away and leave her to fend for herself. A woman needs a man in whom she can have that kind of confidence.

Saturday, December 14, 2019

FREEMASONRY AND RUCIFER

Freemasonry and Lucifer

Masonic Grand Lodges promote the
teaching that Lucifer is the Holy Spirit.


●Sixberty manson

Do Freemasons worship Lucifer?


Over the years, some people have claimed that Freemasons worship Lucifer, or Satan.  The truth of the matter is that the name Lucifer is not found in the rituals of the Blue Lodge, or the York Rite.  We do not believe that Lucifer is mentioned by name in the Scottish Rite degrees, either.  However, one of the "Sacred Words" in the17th Degree of the Scottish Rite is "Abaddon," the angel of  the bottomless pit, mentioned in Revelation 9:11. 
Worship does occur in Masonic Lodges.  One of the primary purposes of Freemasonry is worship.  That fact is clearly stated in the Declaration of Principles which is contained on pages 37-39 of the Indiana Monitor and Freemason's Guide.  (To examine the source materials, see footnotes.)  Masons worship a god which they call the Great Architect of the Univers The symbol they have chosen to represent their god is the All Seeing Eye, which the Egyptians used to represent their pagan god, Osiris.   Many Masons are well aware of the pagan connection.  It is clearly stated in a number of Masonic Monitors.  An example is found on page 116 of the Kentucky Monitor. 
Since Freemasonry teaches a false plan of salvation, Masons are not following in the teachings of Jesus Christ.  2 John 1:9 allows us to know that since they are not following in the teachings of Jesus, they do not have God.  Freemasonry is classic paganism.  1 Corinthians 10:20-21 allows us to know that the sacrifices of pagans are offered to demons, rather than God.   Although we can say with certainty that the god of Freemasonry is a demon, we do not know specifically which demon Masons worship in lodge.  We simply know that they refer to their demon as the Great Architect of the Universe, or GAOTU.  All demons are under the leadership of Satan.  Therefore, Freemasons cannot avoid worshiping Satan by proxy.  Very few of them realize the facts in this aspect of Masonic worship.  A great many Masons, even some who do not claim to be Christians, would leave the lodge immediately if the names of Satan, or Lucifer, were substituted for the GAOTU in Masonic prayers.  Satan would not allow that to occur, because the more effective lie is the one which is closer to the truth, without being true.   The reason that a name such as the GAOTU is chosen for the object of worship is discussed in The Men's Club, an essay on the Ex-Masons for Jesus website.



Do Satanists worship Lucifer?


Many people believe that Satanists worship Lucifer, however Satanists tell us that such is not always the case.  Satanist Anton LaVEY wrote The Satanic Bible and The Satanic Rituals.  On the front cover flap of The Satanic Rituals, LaVEY wrote:
Satanism is a vital philosophy which asks you to take your fate in your own hands--break the barriers that confine you--sweep aside all that is smothering you--realize your full innate power.   The most important commandment of Satanism is: Satanism demands study - not worship.
Satan does not need to receive worship to achieve his goals.  All he has to do is to keep a man from following Jesus.  Satan knows that anyone who does not follow in the teachings of Jesus does not have God. (2 John 9)



MADHARA YA KUTOFANYA MAPENZI KWA MUDA MREFU

Haya Hapa Madhara ya Kutofanya Mapenzi Kwa Muda Mrefu


By doctor sixberty Manson



Aise, kwa kawaida kama wewe si mgonjwa wa aina yoyote ile, kwa maana ya ugonjwa ku-offset system ya mwili, madhara ya kutofanya tendo la ndoa kwa muda mrefu ni makubwa kuliko unavyofikiria as long as upo ktk active range of age! madhara yapo ya Negative na positive.

Mfumo wa fahamu (central novous system) hutumia zaidi tendo la ndoa ku-radiate energy inayowezesha ubongo pamoja na mifumo mingine ya mwili kufanya kazi zake vizuri bila msongo. Suala hapa si lazima uke na uume kukutana na kuingiliana (penetration) ila tu stimulation(msisimko) inayofikisha mtu kileleni (orgasms). kwahiyo, nature(asili) inataka mke na mme kufanikisha zoezi hili maana ni jambo muhimu kama ilivyo kutoka jasho mwilini maana sio tu mwili unaondoa uchafu ndani lakini pia inacontrol joto la mwili (cooling effect).

Anayesema amekaa zaidi ya mwaka na hana madhara.., well sikatai wala sikubali maana hatuna ushahidi nalo lakini zipo njia nyingi mbadala kama kutumia sex toys, dildo(vibrant artificial penis zitumiazo umeme), usagaji n.k. sasa sijui yeye anatumia ipi sababu vichocheo anavyo mwilini and, it's brain iniciated.

Ukidumu bila tendo la ndoa muda mrefu, baadhi ya madhara madogomadogo nikama haya:

Hasira za mara kwa mara ktk mambo madogo,
kupendelea sana kuangalia picha za uchi,
Kusahausahau,
Kupendelea story za mapenzi,
Kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi (Mke),
Kupenda kurukiarukia mambo ya watu wengine (tabia ya kufuatilia mambo yasiyokuhusu),
Kuumwa na kichwa,
Kukakamaa mgongo (wanaume),
Kuingiliwa kirahisi na jini mahaba,
Kupoteza umakini ktk kazi (efficiency),
Siku ukikutana kimwili na mwenye virusi bila kinga utaambukizwa kirahisi mno,
Waweza ku-develop tabia mpya ambayo hukuwahi kuwa nayo ili iwe mbadala kama ulevi n.k.

Friday, November 22, 2019

SECRET MASONIC PASSWORD

Secret Masonic Handshakes, Passwords, Grips
And Signs Of Blue Lodge Masonry
By Sixberty Manson



ENTERED APPRENTICE DEGREE
(First Degree in the Blue Lodge)
DUEGARD OF AN ENTERED APPRENTICE


The Duegard of an Entered Apprentice represents the position of the hand when taking the oath of an Entered Apprentice, (my left hand supporting the Bible and my right hand resting thereon.)

SIGN OF AN ENTERED APPRENTICE



The sign of the Entered Apprentice alludes to the penalty of the Entered Apprentice's obligation. The sign is made by drawing the right hand rapidly across the neck as shown on the left. The penalty that the sign alludes to is, 

(Having my throat cut across, my tongue torn out by its roots, and my body buried in the rough sands of the sea at low water mark, where the tide ebbs and flows twice in twenty-four hours, should I ever knowingly violate this my Entered Apprentice obligation)


Friday, November 8, 2019

MAMBO AMBAYO WANAUME WANAKOSEA WAKATI WA KUTONGOZA

MAMBO AMBAYO WANAUME WANAKOSEA WAKATI WA KUTONGOZA


1.PAPARA
wanaume wengi tumekuwa na haraka sana tunapokuwa tukitaka kuaproach hali inayomfanya mwanamke akuwekee ugumu.mfano umekutana na dada mzuri mmesalimiana hapo hapo unamuomba namba yake.mjomba hata akikupa ujue utasumbuka sana kumpata coz atakufikiria sana juu ya uharaka wako.
2.KUJIFAKE
wanaume wengi tumekuwa tukijipandisha au kujionyesha tofauti na hali zetu.ukiwa unaaproach jaribu kuwa real.huwezi kumwambia mdada unafanya kazi benki afu uko na techno
3.KUTOSOMA MOOD YA MWANAMKE
unapomuaproach mwanamke lazma usome mood yake coz sometime unaweza kutoswa coz hujamsoma mwanamke.unamtongozaje mwanamke asubuhi?,,
4.KUMPONDA UR EX LOVER
mwanamke anakuuliza kwanini uko single,unaanza kumponda ex wako kwa maneno ya kashfa hali kama hii inaweza kumtisha kisaikolojia umtongozae.
5.KULALAMIKA
Unamtongoza mwanamke huku unalalamika juu ya mapenzi oooh mara sijawahi kupendwa.mjomba hapo unaonyesha udhaifu wako.UKITULIA NA KUMTONGOZA MWANAMKE BILA KUYATENDA HAYA MBNA UTAMPATA KILA UMTAKAE

Saturday, March 30, 2019

KAHABA BY SIXBERTY MANSON


THE FREEMASON AND THE DEVILS TRIANGLE by sixberty manson


FREEMASON AND THE DEVILS TRIANGLE

Part One.

By sixberty manson.



Umasoni ni chama cha siri kabisa cha Kiyahudi, kimeanzishwa huko enzi za Kiroma sehemu za Aurshalim (Jerusalem) wakati wa ufalme wa Herodus Aghriba baina ya mwaka 37-44 M, aliyekuwa mjukuu wa Herodus Mkuu, muuaji wa watoto wa Bethlehem kwa khofu ya kutokea Yesu, ambaye kwa mujibu wa imani zake, aliazimia kuondosha haraka iwezekanavyo utawala wote wa Herodus.

Umasoni ulitambulika kwa utata wake na mtindo wake ulio na amri madhubuti. Malengo yake ni kuhakikisha mamlaka yanabaki kwa Mayahudi duniani kote. Unahubiri upagani, utenganifu wa jamii na upotofu. Jumuiya hii inachagua wajumbe wake miongoni mwa watu maarufu kwenye nyanja ambazo zina nafasi kisiasa, kiuchumi au kijamii. Kitabu cha Simplified Encyclopedia kimeandika na kuchapisha kutoka WAMY (Baraza La Vijana Waislamu Duniani - World Assembly of Muslim Youth – Saudi Arabia) kinafafanua kwamba muasisi wa jumuiya hii ni Herdous Aghriba (44 M) mfalme wa Kiroma kwa msaada wa wasaidizi wa Kiyahudi.

Hivyo, mwanzo wake ulitokana na ujanja, hila na mageuzi. Inachagua zana za utambulisho, majina na alama ili kueneza khofu na kuwafanya watu kuamini katika habari zisizo sahihi. Rabai Laquiz amesema: “Umasoni ni ya Kiyahudi kwa mujibu wa historia yake, uongozi wake, mafundisho yake, zana zake za siri na kazi zake za ubunifu wa hali ya juu... Ni ya Kiyahudi kuanzia utosini hadi miguuni. Ilikuwa ikiitwa: ‘Uwezo wa siri wenye lengo la kuwaadhibu Wakristo, kuwauwa viongozi, kuwakata vichwa, kuwapiga pande na kuizuia dini yao kuenea.’ Sasa, imechukua jina hili (Umasoni – Freemasonry) kwa kipindi cha karne kadhaa”.

Neno “mason” lina maana ya yule mwenye kujenga nyumba. Hivyo “Free masons” lina maana ya Wamasoni walio huru. Hii ndio ilikuwa haswa alama yao wakati walipokuwa wakifanya kazi zao (za kujenga nyumba). Lakini sasa jina hilo lipo mbali na tafsiri hii. Enzi hizo ndio zilikuwa mwanzo wa umoja huu. Lakini vitu vilianzia tokea 177 M pale Adam Webshawit, Mkristo aliyeingia kwenye upagani, alipovutiwa na umoja huu ambao alidhani utamsaidia kuimiliki dunia yote.

Mara ya mwisho kutimu kazi hii ilikuwa ni mwaka 1776 M, na bodi ya mwanzo kuanzishwa ndani ya kipindi hicho (Bodi ya Torani) ilipewa jina baada ya huyo Shetani wao waliokuwa wakimwabudia. Ukweli ni kwamba, Webshawit alikuwa ni mtu wa mwanzo aliyeanzisha mipango ile ile ya Umasoni.
 
Azma ya mwanzo ya Umasoni ni kuupiga vita “Ukristo”. Baadaye, azma zao ziliendelea kupiga vita dini zote, kuirudisha tena Israel na kuitoa Palestine.



Malengo muhimu na imani zao kuu za wajumbe wa jumuiya hii ni:
1.                 Wanaitakidi kwamba imani kwa Allaah, Mitume na Vitabu kama ni upuuzi na hawaamini chochote katika ghayb.
2.                 Wanashiriki kwa hali zote kubadili serikali ili kuweka serikali ambayo inawakubali wao pamoja na mawazo yao.
3.                 Wanahubiri ukombozi wa ngono na kumuona mwanamke kama ni aina fulani ya umiliki.
4.                 Wanafanya bidii kuchana chana mataifa – isipokuwa taifa la Kiyahudi na kuanzisha migongano ya kudumu baina yao.
5.                 Wanauza na kutoa silaha kwa pande zote mbili ili kushinikiza mapigano.
6.                 Wanafanya kila jitihada ya kuendeleza ukabila na uadui.
7.                 Inaua na kuharibu kanuni za maadili kwa kutumia hongo kupitia ngono na pesa ili kuwavutia wenye kutoa maamuzi.
8.                 Wanafanya uchunguzi wa kudumu (na kuzifanyia kazi) ili kuwazuia Waislamu na kuwapunguza kupitia aina zote (birth control) na kongamano zinazoshajiisha mambo hayo kama vile: “Kongomano La Wazawa”.

Mwaka 1717 M, Umasoni ulijitokeza kwa jina jengine jipya: Jamii ya Kimasoni (Freemasonic Society) au Wamasoni (Freemasons), wakitekeleza malengo yake ya kupiga vita dini zote. Pia walichukua nembo mpya: Pembe tatu baadaye ikagaiwa (pande mbili), baadaye walianzisha kituo chao cha mwanzo cha Kimasoni nchini Uingereza, wakiwa na kauli mbiu mpya: uhuru, udugu na usawa. Baada ya hapo, walitoa maamuzi ya kuweka (wazi) maazimio yao ya kweli kama ifuatavyo:
1)    Kuuendeleza Uyahudi.
2)    Kupiga vita dini zote, haswa Ukatoliki.
3)    Kueneza ukafiri na ukombozi.
Baadaye, vituo vipya na vingi zaidi vilifunguliwa ndani ya Marekani. Waislamu wengi mno walidanganyika na kauli mbiu ya Umasoni, kisha wakaungana nayo. Lakini, walipotambua malengo yake sahihi, walinawa mikono yao na kuondokana nayo. Wengi wa walioachana na amri hiyo, walikataa kuweka wazi siri zake wakikhofia kuuawa. Utafiti mwingi uliofanywa na waandishi wa Magharibi na magazeti ya Kiyahudi pamoja na chunguzi za nyanja makhsusi, zilidhihirisha kwamba Wayahudi wamekuwa wakipanga kuuharibu ulimwengu kupitia “wito wa kutia shime ulio imara” ambao Waislamu ni lazima wauelewe. Kauli mbiu yao maarufu inasema: ‘Dini zinatusababisha kugawana wakati Umasoni inatupeleka kwenye umoja’. Imesimuliwa ndani ya Kitabu cha Masonic Encyclopedia kilichotolewa Phila mwaka 1906 M kwamba kila kituo cha Kimasoni kiwe na nembo ya kudhihirisha sinagogi la Kiyahudi, (na ukweli ni kwamba) kila mwalimu lazima awe mwakilishi wa mfalme wa Kiyahudi na kila mtu wa Umasoni amuajiri mfanyakazi wa Kiyahudi.
Ifuatayo ni nukuu kutoka gazeti la Masonic lililotolewa huko London mwaka 1935 M: ‘Shabaha yetu ni kuunganisha amri ambayo wanachama wake watatekeleza mahusiano ya kingono’. Hivyo, walianzisha maeneo (clubs) ambayo watu walitembea utupu na walifanya kila waliwezalo kuharibu thamani ya maadili.
Ili kutimiza malengo yao hapo juu, Wamasoni walianza kutumia majina tofauti kama vile Wana Wa Agano – Children Of Covenant, Kiwanis, Lioness, Yahweh Presence, Exchange, Rotary clubs na nyenginezo.
1)    Wana Wa Agano. Kundi hili la Kimasoni lilianzishwa New York mwaka 1843 M; wanachama wake walikuwa ni Wayahudi tu. Baadaye, lilipanua matawi yake duniani kote. Foster Dallas akiwa kwenye mkutano ulioitishwa na kundi lake mnamo tarehe 03/05/1966 M alisema: ‘Ustaarabu wa Kimagharibi unatokana na Imani za Kiyahudi, nchi zote za Magharibi ni lazima zitetee ngome ngumu ya Ustaarabu wao: Israel’.
2)    Kiwani. ‘Jitambue mwenyewe namna ya kuifanya sauti yako isikike’ Kundi hili lilipewa leseni ya kuanzishwa kwake mwaka 1915 M huko Detroit, USA.
3)    Lioness. Kundi hili lilijitokeza Chicago, Chicago ambayo ndio ardhi mama ya vyama vyote vya Rotary. Kwa mujibu wa makala ya al-Ahram ya tarehe 02/12/1985 M. Mkuu (wa kike) wa kuiwekea dhamana na harakati za kijamii alifungua klabu ya mwanzo ya Lioness Nambari 19 huko Misri – Cairo, ni klabu ya kisasa kuliko zote. Saini na vyeti vilikabidhiwa katika maadhimisho ya (kuvipatia usajili) Vilabu 27. Majina ya makada wa chama hichi yalitajwa ndani ya makala hiyo.
4)    Exchange. Ilianzishwa Detroit nchini USA mnamo tarehe 27/03/1916 M kutokana na nguvu za “Charles Berki” tajiri wa vito (vya dhahabu, almasi na kadhalika); aliitisha mkutano wake wa mwanzo mwaka 1917 M.
5)    Yahweh Presence. Ni msingi wa Kiyahudi katika mavazi ya Kikristo. Yahweh ni agano binafsi la jina la Mungu (Agano la Kale); lililoanzishwa huko Penn. USA mwaka 1884 M, na baadaye, kuhamia New York mwaka 1909 M. Kundi hili linawatembelea watu majumbani mwao ili kuwahamasisha kuziimarisha kanuni zao zilizoegemezwa kwenye Taurati (na zilizoingizwa uongo kwa mikono yao). Kundi hili ni la hatari zaidi miongoni mwa Jumuiya za Kiyahudi, kwa vile linadanganya wanaharakati (wapo tayari hata kuua) wa Kikristo na kupandikiza ndani ya akili zao dhana za uongo za utume kama vile Ardhi Iliyoahidiwa Promised Land.
Pia, ofisa wa Kimarekani alitoboa siri zao ndani ya kitabu chake ‘Dunia Ni Doli La Kiizraili’; kilichotafsiriwa kwa Kiarabu.
Hapa, ni vyema kutaja baadhi ya vitabu vilivyoandikwa kuhusu Umasoni. Dr. Muhammad Ali az-Zu’bi ameandika al-Masuuniya Fil ‘Aaraa (Umasoni Ndani ya Hewa Wazi) na Ahjar kwenye Riqat ash-Shataranj (Kitunda Katika Mchezo Wa Sataranji – Pawns On The Chess). Dr. Muhammad alikuwa ni mfano hai wa wasifu wa Kimasoni nchini Lebanon. Baadaye, alitubia na kurudi kwenye Uislamu. Hivyo, amri za Kimasoni ziliamuru auawe.
Zifuatazo ni Fatwa za Kishari’ah kuhusiana na Umasoni na wanachama wake zilizotolewa na Baraza la Fiqhi kwenye kikao chake cha kwanza kilichofanyika Makkah mnamo tarehe 10/08/1398 H. sawa na tarehe 15/07/1978 M.
Baada ya kusoma na kuchunguza yale yote yaliyoandikwa na kuchapishwa kuhusiana na amri hii, Baraza linatoa Fatwa kama ifuatavyo:
1)    Umasoni ni amri ya siri, yenye kanuni na mafanikio ya siri; hakuna mtu anayetambua siri zake hata kwa wajumbe wake walio wengi, isipokuwa wale wenye vyeo vya juu. Mara nyingine wanafanya kazi ndani ya jamii.
2)    Inajenga uhusiano wake miongoni mwa wajumbe wake duniani kote kwa njia za mahusiano ya kidugu ya uongo kwa lengo la kuyaweka mafanikio yake siri; inahusisha dini zote na imani zote.
3)    Inavutia watu kujumuika nao kwenye jumuiya zake kwa kutosheleza matakwa yao binafsi, kwa vile kila Mmasoni ni lazima amtumikie ndugu yake duniani, yaani kumsaidia kutimiza ndoto zake zozote zinavyokuwa na kumsaidia kutatua matatizo yake na kumtimizia mafanikio yake na malengo yake; wanafanya kazi mmoja kwa mwengine kwenye mazuri na mabaya, haki na dhulma hata kama watajitahidi wawezavyo kujionesha kwamba wanafanya hayo kwa msaada mwema. Kwa maneno mengine, amri za Kimasoni zinafanya kazi kwa matakwa ya wajumbe wake ili kupata nafasi za mbele kwenye jamii na hilo ni miongoni mwa vivutio vyao. Wajumbe wake wanasaidia michango muhimu.
4)    Kujiunga kwa amri hii kunaanzia kwa sherehe za kimila zinazoonesha matendo ya kutia khofu ili kumtisha mjumbe iwapo atakiuka mafundisho yake na amri zake na wakubwa wake.
5)    Wajumbe wengine kutokana na umuhimu/ nafasi zao wanaruhusiwa kufuata mila za dini zao, lakini wanaamriwa kufanya baadhi ya maagizo kwa mujibu wa uwezo wao na wanatayarishwa kuwa ni mapagani (asiyesadiki mungu) pamoja na kushika nafasi za juu kwa mujibu wa huduma zinazotolewa kwa mafanikio na mipango ya hatari.
6)    Umasoni una shabaha za kisiasa na kanuni yake ya msingi imo ndani ya vikundi visivyo rasmi na vyenye kutumia nguvu ya kung’oa uongozi duniani kote (coups d’etat).
7)    Kimsingi, ni amri siri ya Kiyahudi na Kizayuni.
8)    Ndani ya shabaha zake za siri, ni kupiga vita dini zote, haswa Uislamu.
9)    Umasoni unachagua wajumbe wake kutoka watu walio hodari kiakili, matajiri, wanasayansi na kwenye kila nyanja ili kutawala kimabavu jamii zote kwa manufaa ya shabaha zake na wajumbe wake.
10)           Inabadilisha majina na sifa tofauti, na inafanya kazi chini ya shughuli tofauti haswa pale penye aina yoyote ya upinzani kwa Umasoni ndani ya jamii. Baadhi ya majina yake ni: Rotary, Lioness, na amri za Lions...
Inakuja wazi kwamba Umasoni una uhusiano thabiti ambao unasaidia kutawala na kuongoza wengi walio madarakani ndani ya Palestina. Inatoa amri duniani kote na baadaye inachukua matunda kutokana na hali hiyo.
Kwa kuegemea ukweli ulioelezwa hapo nyuma kuhusu shabaha mbovu na za hatari zinazotumiwa na Umasoni, Baraza la Fiqhi linaamini kwamba amri kama hiyo ni yenye kuleta uharibifu, kwani inapigana vita dhidi ya Uislamu na Waislamu na kila mtu anayejiunga nayo ni kafiri.
























SIXBERTY MANSON POSTS

Mona Lisa

  MONALISA                              LA GIOCONDA                          By Sixberty Manson  A picture by Sixberty Manson  MEET THE REAL...

ZILIZOTAZAMWA ZAIDI